Misri yaichakaza stars 1-0

credit: @sokawaytz…

FULL-TIME; Kutoka Dimba La Borg El Arab.. Wenyeji Misri wanaibuka na Ushindi Mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania.. Ulikuwa ni Mchezo wa kutest Mitambo, game nzuri imemalizika salamaa… Taifa Stars kabla ya kuanza kibarua cha AFCON watacheza game nyingine ya kirafiki dhidi ya Zimbabwe..

:

Misri πŸ‡ͺπŸ‡¬ 1-0 Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

#PreAfcon #TotalAFCON2019 #EGYTAN

Leave a comment