
credit: @sokaonline_…
Klabu ya Azam Fc imethibitisha kuwa imeachana na wachezaji wake 8 baada ya kumaliza mikataba yao. .
.
Wachezaji hao ni:
.
Obrey Chirwa
.
Daniel Lyanga
.
Joseph kimwaga.
.
Enock Atta
.
Ramadhani Singano.
.
Steven Kingue.
.
Hassan Mwasapili na Tafadzwa Kutinyu