Azam yawaacha wachezaji 8

credit: @sokaonline_…

Klabu ya Azam Fc imethibitisha kuwa imeachana na wachezaji wake 8 baada ya kumaliza mikataba yao. .

.

Wachezaji hao ni:

.

Obrey Chirwa

.

Daniel Lyanga

.

Joseph kimwaga.

.

Enock Atta

.

Ramadhani Singano.

.

Steven Kingue.

.

Hassan Mwasapili na Tafadzwa Kutinyu

Leave a comment