
credit: @sokawaytz_…
FULL-TIME | Kutoka Dimba la Alexandria Stadium jijini Alexandria na Al-Salam Stadium jijini CAIRO; Mechi za kuhitimisha hatua ya Makundi ya Fainali za AFCON Kundi B.
:
Madagascar 🇲🇬 2-0 🇳🇬 Nigeria
[Lalaina Nomenjanahary, Carolus Andriamahitsinoro]
:
Burundi 🇧🇮 0-2 🇬🇳 Guinea
[Mohamed Yattara 2X]
:
– Msimamo baada ya Kukamilika kwa hatua hiyo..
Q. Madagascar 🇲🇬 7pts
Q. Nigeria 🇳🇬 6pts
3. Guinea 🇬🇳 4pts
E. Burundi 🇧🇮 0pts
✍🏻 Katika Mara yao ya kwanza kabisa kwenye historia yao ya kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika, timu ya taifa ya Madagascar inafuzu 16 Kama Vinara wa Kundi B kufuatia Ushindi wao wa hii leo dhidi ya Nigeria wanafikisha pointi Saba (D1, W2, L0) .
✍🏻 Baada ya kipigo, Nigeria nao wanafuzu 16 bora wakiwa nafasi ya pili na pointi zao Sita… Guinea wanafuatia wakiwa na pointi Nne na Burundi wanaoshiriki Mara ya kwanza wanamaliza bila ushindi wowote katoka game zao tatu wakipoteza zote… 👉🏻 Well Done Madagascar 👏🏻👏🏻👏🏻
#TotalAFCON2019 #AFCONUpdates #AFCON2019