credit: @sokawaytz_…
#AFCONUpdates – Ni Mataifa Matatu tu yametoka bila ya pointi hata Moja katika AFCON ya mwaka huu… Namibia, Burundi na Tanzania; Lakini katika hizo ni Tanzania ndio Kinara wa kufungwa Magoli mengi zaidi ya Mataifa yaliyopo kushiriki Fainal za Mataifa ya Afrika nchini Misri.
#AFCON2019