Ospina amejiunga na Napoli

credit: @sokawaytz_…

OFFICIAL: Arsenal imethibitisha kuwa Mlinda lango, David Ospina amejiunga na Napoli kwa uhamisho wa Moja kwa moja kufuatia kucheza kwa mkopo msimu uliopita ndani ya klabu hiyo ya Serie A.

#SerieATransfersUpdates

Leave a comment