
credit: @sokaonline_…
Paulo Dybala jana aliibuka mchezaji bora wa mechi “Man Of The Match” katika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa michuano ya Copa America dhidi ya Chile. .
.
Argentina walishinda 2-1 mabao yakifungwa na Dybala na Aguero wakati la Chile likifungwa na Arturo Vidal kwa mkwaju wa penati.