
credit: @sokawaytz_…
βπ» Barcelona inakaribia kumsaini mshambuliaji wa Kimataifa wa Ufaransa, Antoine Griezmann kutoka Atletico Madrid muda wowote kuanzia Sasa.
.
βπ» Kwa mujibu wa Ripoti kutoka Barcelona, zinasema kuwa Mabingwa hao wa Laliga hii Leo Ijumaa watawasilisha Release clause ambayo β¬120m (Β£107m/$134m) kwenda Atletico Madrid tayari kumsajili Griezmann ambaye tayari Alithibitisha kutoendelea kuitumikia Klabu hiyo..
#transfersUpdates #TransferNewsUpdates