
credit: @sokawaytz…
👉🏻 Michy Batshuayi anatarajia kusalia Chelsea msimu huu na kupiganiana nafasi dhidi ya Tammy Abraham na Olivier Giroud katika kikosi Cha kwanza kama mshambuliaji mkuu wa kocha, Frank Lampard.
.
👉🏻 Chelsea wanatumikia marufuku yao ya kusajili Wachezaji kwa dirisha hili na linalokuja, lakini hawateteleki kwa kiasi kuhusu Hilo Ni Baada ya kuwa na rundo la Wachezaji Vijana waliowekezwa na Klabu hiyo, ndani ya Academy yao na wengine walitolewa kwa mkopo Vilabu Mbalimbali takribani 40+… The blues imefanya Usajili wake kwa Wachezaji wawili tu, Christian Pulisic na Kiungo, Matteo Kovacic Ambaye alicheza kwa mkopo klabuni hapo hivyo ikawa ruksa kumsajili na Pulisic alisajiliwa Mwezi January kabla ya kufungo kuwakuta.
.
👉🏻 Tammy Abraham amerejea kutoka kwa mkopo Aston Villa na Michy Batshuayi amerejea kutoka kwa mkopo Crystal Palace… Kinda mwingine Mason Mount karejea kutoka kwa mkopo Derby County na ana uhakika kusalia na The Blues msimu huu Baada ya kufanya vema Katika Mechi za Pre-Seasons..
#EPLUpdates
@Sokawaytz_