Kumbuka kubonyeza X utakapoona matangazo
Category: kimataifa
VIKOSI : Fc Bayern Munich vs Borussia Dortmund
Kikosi cha Fc Bayern Munich vs Borussia Dortmund



Full Time. Southampton 1-3 Liverpool
Full Time.
Southampton 1-3 Liverpool
(Long ⚽️ | Keita ⚽️ Salah ⚽️ Henderson ⚽️)
Nyota 10 wanaoongoza kwa kufunga magoli mengi zaidi kwa mipira ya kutengwa
Nyota 10 wanaoongoza kwa kufunga magoli mengi zaidi kwa mipira ya kutengwa (Free-kick). 1-Juninho Pernambucano (77)
2-Pele (70)
3-Victor Legrotaglie (66)
4-Ronaldinho Gaucho (66)
5-David Beckham (65)
6-Diego Armando Maradona (62)
7-Zico (62)
8-Ronald Koeman (60)
9-Rogerio mucke Ceni (59)
10-Marcelinho Carioca (59)




TOP 4 EPL
Zimebaki mechi 7 kwa kila timu. Nani atafanikiwa kubaki ndani ya Top 4? #sokaonline
TP MAZEMBE Kutua DAR KESHO
Kikosi cha Tp Mazembe kinatarajia kuwasili nchini Kesho Jumatano April 3 tayari kwa mchezo wa Jumamosi dhidi ya Simba Sc #sokaonline
Adi Yusuph – Mchezaji bora wa mwezi march – UINGEREZA
ambaye ni mtanzania ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa tatu wa klabu yake ya Solihull Moors ya nchini Uingereza.
.
Takwimu zake kwa mwezi Marchi
Mechi 7
Magoli 3
Assists 3
#sokaonline
Wachezaji wanaopiga mkwanja mrefu msimu huu barani Ulaya
Wachezaji wanaopiga mkwanja mrefu msimu huu barani Ulaya 😎


ARSENAL: Kiungo Huyu kiokosa Newcastle
Kiungo wa klabu ya Arsenal Granit Xhaka anatarajia kuukosa mchezo ujao wa Ligi Kuu Uingereza dhidi ya Newcastle Utd wikiendi hii kutokana na majeraha aliyoyapata kwenye mchezo wa kimataifa dhidi ya Denmark siku ya Jumanne uliomalizika kwa sare ya mabao 3-3.
.
Xhaka alifunga bao moja katika mchezo huoCc: sokaonlineupdates









