Jana baada ya Mkutano Mkuu, wanachama wa klabu ya Simba waliingia kwenye zoezi la uchaguzi kuwapata Mwenyekiti na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi.
Zoezi la uchaguzi lilikwenda mpaka usiku na matokeo yake kutangazwa usiku wa kuamkia leo.
Hawa hapa washindi wa nafasi mbalimbali;
MWENYEKITI
Swedi Khamisi Mkwabi
WAJUMBE BODI YA WAKURUGENZI
1. Asha Baraka
2. Hussein Mlinga
3. Dk Zawadi Kadunda
4. Seleman Said
5. Mwina Kaduguda