SIMBA: Kumtoa kwa mkopo Marcel

Kocha wa klabu ya Simba Sc Patrick Aussems amesema tayari ametoa mapendekezo ya kumtoa kwa mkopo mchezaji wao Marcel Kaheza kwenda klabu atakayopata nafasi ya kucheza kwa kipindi cha miezi 6 tuu.

Kocha huyo amefika mbali zaidi na kusema hawezi akaruhusu nyota huyo wa zamani wa MajiMaji Fc kuuzwa kwa kuwa ana uwezo wa hali ya juu, kutokana na upana wa kikosi cha Simba Sc ndio maana hapati nafasi ya kucheza na kuonyesha ubora wake #sokaonlineUpdates

Leave a comment