OKWI: Aibuka Mchezaji Bora mwezi OCTOBER

Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi ametangazwa na Kamati ya Tuzo ya TFF kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya Tanzania Bara kwa mwezi wa 10.

Okwi ameshinda tuzo hiyo baada ya kuifungia Simba mabao saba katika mwezi huo.

Wakati huo huo Kamati ya Tuzo imemchagua Kocha wa Azam FC, Hans Pluijm kuwa Kocha Bora wa mwezi Oktoba akiwashinda Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Aussems na Kocha Mkuu wa Mbeya City, Ramadhan Nsazwarimo

Leave a comment