OKWII: Nikiachana Na SOKA nitakua Wakala Wa Wachezaji

Mshambuliaji wa Simba na timu ya taifa ya Uganda Emanuel Okwi amesema akiachana na soka anataka kuwa wakala wa wachezaji ili kuwasaidia wanufaike na vipaji vyao wasipite katika matatizo ambayo yeye na wachezaji wengine wegi wa sasa wanapitia.
:
“Baada ya kuacha mpira malengo yangu ni kuwa agent wa wachezaji wa baadaye kwa sababu nataka wafaidike na wafurahie mpira.”
:
“Nitapambana kuhakikisha wanapita katika njia sahihi ili wasipate matatizo ambayo sisi tumepata”.

Leave a comment