Uongozi SIMBA SC Kuzungumza na waandishi Wa Habari Jumatano Nov 14

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kesho tarehe 14/11/2017 Siku ya Jumatano Saa Sita kamili mchana ,Mabingwa wa Soka nchini Simba SC itazungumza na Wanahabari kwenye Makao Makuu ya klabu yaliyopo Mtaa wa Msimbazi jijini Dar es salaam

Mkutano huo muhimu unatarajiwa kurushwa live kama kawaida na Channel maarufu ya Azam kupitia Azam sports two pamoja na kurasa za Mitandao ya kijamii ya klabu pamoja na ya Msemaji wa klabu.

IMETOLEWA NA
Haji S Manara
Mkuu wa Habari na Mawasiliano
Simba SC