#TetesiZaUsajili Imeelezwa kuwa Klabu ya AC Milan ya Italia tayari imeanza mazungumzo na Chelsea ili kumsaini kiungo wa kati raia wa Uhispania Cesc Fabregas, 31, ifikikapo mwishoni mwa msimu huu (Calciomercato)
Tetesi Za USAJILI
Published
#TetesiZaUsajili Imeelezwa kuwa Klabu ya AC Milan ya Italia tayari imeanza mazungumzo na Chelsea ili kumsaini kiungo wa kati raia wa Uhispania Cesc Fabregas, 31, ifikikapo mwishoni mwa msimu huu (Calciomercato)