Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Lipuli ambao ulikuwa umepangwa kuchezwa kesho Jumatano 21/11/2018 umesogezwa mbele na sasa utachezwa siku ya Ijumaa 23/11/2018.
Mabadiliko hayo yamefanywa ili kuwapa nafasi wachezaji wetu waliokuwa kwenye timu zao za Taifa kujiunga na kikosi chetu ili kuwa sehemu ya wachezaji ambao watacheza mchezo huo.