
Mchezo huo utapigwa kesho Jumamosi, April 06 2019 katika uwanja wa Taifa saa kumi kamili jioni
Dk Kigwangala ambaye ni mdau mkubwa wa klabu ya Simba ataungana na maelfu ya mashabiki wa timu hiyo ambao kesho watafurika kuujaza uwanja wa Taifa ili kushuhudia mtanange huo