SIMBA: Mazoezi ya mwisho kabla ya safari ya Lubumbashi

Kikosi cha Simba leo kimefanya mazoezi ya mwisho kabla ya safari ya kuelekea Lubumbashi DR Congo kuikabili TP Mazembe kwenye mchezo wa pili wa robo fainali ligi ya mabingwa barani Afrika

Mchezo dhidi ya TP Mazembe utapigwa keshokutwa Jumamosi, saa kumi jioni

Simba itaondoka nchini kesho Ijumaa, April 12 2019