Rais Congo kushuhudia mchezo wa TP Mazembe vs Simba

Klabu ya TP Mazembe iimemualika Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi kushuhudia mchezo wa pili wa robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Simba

Ikulu ya DR Congo imethibitisha kuwa Tshisekedi atakuwepo uwanjani kushuhudia mchezo huo unaopigwa leo saa kumi kamili jioni

Mchezo huo utapigwa katika uwanja wa Stade TP Mazembe