
Mchezo huo wa kwanza baina ya timu hizo msimu huu, utapigwa siku ya Jumatano, April 17 kwenye uwanja wa Mkwakwani
Baada ya kumaliza majukumu ya michuano ya CAF, Simba imedhamiria kutetea ubingwa wake kuhakikisha inapata nafasi ya kushiriki michuano ya ligi ya mabingwa msimu ujao
Simba imerejea nchini usiku wa kuamkia leo ikitokea DR Congo ambako iliondoshwa na TP Mazembe kwenye michuano ya ligi ya mabingwa hatua ya robo fainali