
Tshishimbi ameuamia enka, hatma ya kama kesho ataweza kucheza au la itategemea ripoti ya Daktari wa Yanga Dk Edward Bavu
Yanga itachuana na Mtibwa Sugar kesho Jumatano katika mchezo wa ligi kuu ambao utapigwa saa nane mchana kwenye uwanja wa Jamhuri

Tshishimbi ameuamia enka, hatma ya kama kesho ataweza kucheza au la itategemea ripoti ya Daktari wa Yanga Dk Edward Bavu
Yanga itachuana na Mtibwa Sugar kesho Jumatano katika mchezo wa ligi kuu ambao utapigwa saa nane mchana kwenye uwanja wa Jamhuri