MICHEZO || Afisa Habari wa klabu ya Simba Sc Haji Manara alitaka shirikisho la soka nchini Tanzania TFF kumchukulia hatua kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Sc Mwinyi Zahera kwa makosa ya kuituhumu Simba Sc na TFF kuwa wanaihujumu klabu yake ya Yanga Sc kwa kuiibia point zao la Ligi kuu Tanzania bara bila kutaja kuwa hizo point wanaiba vipi.