
Baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Alliance Fc jana, kesho Simba itashuka tena uwanja wa CCM Kirumba kuikabili KMC katika mchezo mwingine wa ligi kuu ya Tanzania Bara
Kocha Mkuu wa mabingwa hao watetezi Patrick Aussems amesema ataendelea kufanya ‘rotation’ ya kikosi chake ili kuhakikisha wanafikia malengo ya kutetea ubingwa
Hii hapa ratiba ya Simba kwa michezo iliyobaki mpaka mwishoni mwa msimu;
25/04/19 KMC Vs Simba SC .
27/04/19 Biashara Utd FC Vs Simba Sc.
30/04/19 Simba Sc Vs JKT Tanzania .
03/05/19 Mbeya City FC Vs Simba Sc.
06/05/19 Tanzania Prisons FC Vs Simba SC.
08/05/19 Simba SC Vs Coastal Union.
10/05/19 Simba SC Vs Kagera sugar FC.
13/05/19 Simba SC Vs Azam FC.
16/05/19 Simba SC Vs Mtibwa Sugar FC.
19/05/19 Simba SC Vs Ndanda FC.
22/05/19 Singida United vs Simba Sc.
25/05/19 Simba SC Vs Biashara United.
28/05/19 Mtibwa Sugar FC Vs Simba SC.