Hii hapa ‘bandika-bandua’ ya michezo ya Simba

Ratiba imebana kwelikweli! Ndio kauli unayoweza kuitumia kwa Simba ambayo imekuwa ikishuka dimbani kila baada ya siku mbili au siku tatu

Baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Alliance Fc jana, kesho Simba itashuka tena uwanja wa CCM Kirumba kuikabili KMC katika mchezo mwingine wa ligi kuu ya Tanzania Bara

Kocha Mkuu wa mabingwa hao watetezi Patrick Aussems amesema ataendelea kufanya ‘rotation’ ya kikosi chake ili kuhakikisha wanafikia malengo ya kutetea ubingwa

Hii hapa ratiba ya Simba kwa michezo iliyobaki mpaka mwishoni mwa msimu;
25/04/19 KMC Vs Simba SC .
27/04/19 Biashara Utd FC Vs Simba Sc.

30/04/19 Simba Sc Vs JKT Tanzania .
03/05/19 Mbeya City FC Vs Simba Sc.
06/05/19 Tanzania Prisons FC Vs Simba SC.

08/05/19 Simba SC Vs Coastal Union.
10/05/19 Simba SC Vs Kagera sugar FC.

13/05/19 Simba SC Vs Azam FC.
16/05/19 Simba SC Vs Mtibwa Sugar FC.

19/05/19 Simba SC Vs Ndanda FC.
22/05/19 Singida United vs Simba Sc.

25/05/19 Simba SC Vs Biashara United.

28/05/19 Mtibwa Sugar FC Vs Simba SC.