Simba yapata mapokezi makubwa Mara

Kikosi cha Simba kimewasili salama mkoani Mara tayari kwa mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Biashara United

Mchezo huo utapigwa kesho Jumamosi, April 27 kwenye uwanja wa Karume

Idadi kubwa ya mashabiki wamejitokeza kwa wingi kuulaki msafara wa mabingwa hao watetezi wakati ukiingia Musoma