
Simba imemaliza salama ratiba ya michezo ya kanda ya ziwa ikifanikiwa kushinda michezo mitatu na kufungwa mchezo mmoja
Baada ya mchezo dhidi ya JKT Tanzania, kikosi cha Simba kitaelekea mkoani Mbeya kuzifuata Mbeya City na Tanzania Prisons



Simba imemaliza salama ratiba ya michezo ya kanda ya ziwa ikifanikiwa kushinda michezo mitatu na kufungwa mchezo mmoja
Baada ya mchezo dhidi ya JKT Tanzania, kikosi cha Simba kitaelekea mkoani Mbeya kuzifuata Mbeya City na Tanzania Prisons

