Karia amesema TFF itashirikiana na Viongozi hao katika maendeleo ya Mpira wa Miguu nchini
Wanachama wa Yanga jana walikamilisha salama mchakato wa uchaguzi wa klabu hiyo kwa kuwachagua Dk Mbette Mshindo Msolla kuwa Mwenyekiti na Fredrick Mwakalebela kuwa Makamu Mwenyekiti pamoja na kuchaguliwa kwa wajumbe wengine nane wa Kamati ya Utendaji