Kamati za Utendaji, Hamasa Yanga kuzungumza na wanahabari leo

Kamati ya Utendaji ya Yanga pamoja na Kamati ya Hamasa leo Jumatano, May 15 2019 zitafanya Mkutano na waandishi wa habari

Mkutano huo unatarajiwa kuanza saa sita mchana Makao Makuu ya klabu hiyo, mtaa wa Twiga na Jangwani jijini Dar es salaam

Leave a comment