CHELSEA: Nyota wa Chelsea Alvaro Morata amesema kuwa hafikirii kurejea Chelsea

Mshambuliaji wa Chelsea aliyepo kwa mkopo Atletico Madrid Alvaro Morata amesema kuwa hafikirii kurejea Chelsea baada ya muda wake kumalizika badala yake atafanya kila aliwezalo ili aendelee kubaki Atletico Madrid kwa muda mrefu.
.

Leave a comment