Imeripotiwa kuwa uongozi wa klabu ya Azam FC ya Dar Es Salaam umesitisha mazungumzo ya mkataba mpya na nyota wake Obrey Chirwa.
.
.
Taarifa za awali kutoka ndani ya uongozi wa klabu hiyo zinasema watafanya uamuzi wa kuendelea au kutoendelea na Chirwa mara baada ya fainali ya kombe la shirikisho la ASFC.