HARUNA NIYONZIMA NI MZURI KULIKO CHAMA – Mwl KASHASHA

Mwalimu kashasha katika Sehemu ya tanoya Uchambuzi wake
@mwalimu_alex_kashasha

Mchambuzi wa soka Nchini Tanzania Mwalimu Kashasha amesema kuwa watanzania wakua chanzo cha wachezaji wengi kucheza na Majukwaa

Huku akimsfia niyonzima kuwa hatakama anacheza na Majukwaa ila bado anaspeed katika mpira wake, kashasha amesema kwake yeye Haruna ni Mzuri kuliko chama

Anasema kuwa Haruna Kwa sasa amebadilila na amkua msaada kwa timu kutokan na Uchezaji wake

Usikose Mwendelezo wa Uchambuzi wa Mwalimu kashasha katika Sehemu ya Sita.

Powered By @bikotanzania
Imeandaliwa na @officialchristz video kwa hisani ya @globalpublishers

Leave a comment