Mwalimu kashasha katika Sehemu ya tanoya Uchambuzi wake
@mwalimu_alex_kashasha
Mchambuzi wa soka Nchini Tanzania Mwalimu Kashasha amesema kuwa watanzania wakua chanzo cha wachezaji wengi kucheza na Majukwaa
Huku akimsfia niyonzima kuwa hatakama anacheza na Majukwaa ila bado anaspeed katika mpira wake, kashasha amesema kwake yeye Haruna ni Mzuri kuliko chama
Anasema kuwa Haruna Kwa sasa amebadilila na amkua msaada kwa timu kutokan na Uchezaji wake
Usikose Mwendelezo wa Uchambuzi wa Mwalimu kashasha katika Sehemu ya Sita.
Powered By @bikotanzania
Imeandaliwa na @officialchristz video kwa hisani ya @globalpublishers