Harambee kubwa ya kuichangia Yanga itafanyika Juni 15 katika ukumbi wa Diamond Jubelee jijini Dar es salaam
Siku hiyo ndio itakuwa kileleni cha kampeni ya kuichangia Yanga iliyoanza takribani miezi miwili iliyopita
Wananchi wa kawaida, Wasanii, Wanamuziki, Wabunge, viongozi wa Serikali,Taasisi Binafsi na Mashirika watahudhuria hafla hiyo ambayo Kamati ya Hamasa inakusudia kukusanya zaidi ya Tsh Milioni 500

Mwana Jangwani weka kumbukumbu ya tarehe hiyo….!