Kombe lipo Tayari Simba zimebaki dakika tu akabithiwe

‘MWALI’: Tayari kombe liko hadharani hapa kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro likimsubiri bingwa Simba SC baada ya mechi.

Dakika ya 35: Mtibwa Sugar 0-0 Simba SC.

#LigiKuuTanzaniaBara

credit: @sokawaytz

Leave a comment