
— “Mimi na Yondani mbona tuna mawasiliano mazuri kabisa, akiwa na matatizo yake ananiambia na tunajua tunafanyeje hata hayo anayosema kwamba anagoma kiukweli mimi sifahamu”.
— “Iko hivi mchezaji huyu hawezi kuondoka na nawaambia atazeekea hapa hapa, kwahiyo hayo maneno ya mtaani wala msiyasikilize,”.
👉 Kocha Mkuu wa Yanga SC akiweka wazi kuwa beki kisi wa Klabu hiyo, Kelvin Yondani atacheza Yanga mpaka yeye mwenyewe atakapoamua kusema basi amechoka na anahitaji kupumzika katika Masuala ya Soka.
#Updates
credit: @sokawaytz