Yanga wasaini chombo kingine

credit: @sokawaytz…

– Mlinda lango wa timu ya taifa ya Tanzania, Metacha Mnata 20″ amejiunga na Klabu ya Yanga SC kwa Kusaini Mkataba wa miaka miwili, Nyada huyo kajiunga na Yanga akitokea kuitumikia Klabu ya Mbao FC kwa mkopo ambapo Sasa kamaliza Mkataba wake na Azam FC..

.

– Usajili mwingine tena Jangwani, Mshambuliaji wa Kimataifa, Maybin Kalengo 20″ nae amesinyaa rasmi Mkataba wa Miaka Miwili kuwatumikia miamba hao msimu ujao.. Kalengo katoka kuitumikia Klabu ya ZESCO United ya kwao Zambia..

#transfers

@Sokawaytz

Leave a comment