
credit: @taifastars_…
Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” Emmanuel Amunike akiteta jambo na Nahodha wa Taifa Stars anayecheza KRC Genk ya Belgium Mbwana Samatta,Stars inaendelea kujiandaa na mashindano ya AFCON yatakayofanyika Misri @amuneke9496 @taifastars_