
credit: @sports pesa
#Usajili Mshambuliaji wa klabu ya Simba Sc Meddie Kagere amemalizana na klabu ya Zamalek kuhusu masuala binafsi ili kujiunga nayo msimu ujao ambapo klabu hiyo ya Misri imekubali kulipa kiasi cha Bilioni 1.2 kwenda kunako klabu ya Simba Sc. .
.
Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi.