Timu za zimbabwe ili fanya mazoezi kujiandaa na Afcon

credit: @sokawaytz…

– The Warriors… Timu ya taifa ya Zimbabwe imeendelea na mazoezi yake ikiwa ni Maandalizi ya mwisho mwisho kabla ya Ijumaa hii kuzindua fainali za Mataifa ya #AFCON2019 dhidi ya Wenyeji Misri… Mashujaa hao wanafanya mazoezi ndani ya Dimba la El Sekka El Hadid Sadium..

#TotalAFCON2019

Leave a comment