
credit: @sokawaytz…
– Beki wa Klabu ya Azam FC, David Mwantika (Kushoto) amerudishwa nchini Misri tayari kuungana na kikosi cha Taifa Stars kuzipa pengo la Aggrey Morris aliyeumia katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri… Mwantika ni miongoni mwa wachezaji waliokatwa katika kikosi cha Awali kilichotajwa na kocha Emmanuel Amunike kujiandaa na Michuano ya AFCON..
#TotalAFCON2019