Mabingwa wa simba wamekamilisha usajili wa beki wao mbrazili

credit: @sokawaytz…

OFFICIAL!! Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Klabu ya Simba SC Imethibitisha kukamilisha usajili wa Mshambuliaji wa Kimataifa wa Brazil, Wilker Henrique Da Silva.

.

– Da Silva Wilker mwenye umri wa miaka 23 amejiunga na Simba SC kwa Mkataba wa Miaka Miwili akitokea klabu ya Bragantino ya nchini kwao Brazil…

#TPLTransferUpdates

@Sokawaytz

Leave a comment