Mechi ya ufunguzi ya Afcon

credit: @sokawaytz…

👉👉 Muda huu Dimba la Cairo International Stadium limejaaa… Mamia ya watazamaji wameingia na kujaza uwanja kutazama uzinduzi wa fainali za AFCON 2019 ambapo wenyeji Misri watakipiga dhidi ya The Warriors timu ya taifa ya Zimbabwe…

#AFCONUpdates

One thought on “Mechi ya ufunguzi ya Afcon

Leave a reply to Jomki Cancel reply