
credit: @sokaonline_…
#DealDone Aliyekuwa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar Kelvin Sabato “Kiduku” amejiunga na Gwambina Fc inayoshiriki Ligi daraja la kwanza Tanzania FDL kwa mkataba wa mwaka mmoja.
.
.
Nyota wengine ni Ibrahim Job kutoka Lipuli Fc pamoja Raizin Hafidh akitokea Coastal Union wote wakisaini mwaka mmoja.