Kelvin sabato asajiliwa Gwambina fc

credit: @sokaonline_…

#DealDone Aliyekuwa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar Kelvin Sabato “Kiduku” amejiunga na Gwambina Fc inayoshiriki Ligi daraja la kwanza Tanzania FDL kwa mkataba wa mwaka mmoja.

.

.

Nyota wengine ni Ibrahim Job kutoka Lipuli Fc pamoja Raizin Hafidh akitokea Coastal Union wote wakisaini mwaka mmoja.

Leave a comment