
credit: @sokaonline_…
Klabu ya Juventus ipo tayari kuwapa Manchester Utd kiasi cha €70m pamoja na mshambuliaji wake Paulo Dybala kama chambo ya kumpata kiungo wa kati Paul Pogba.
.
.
Licha ya ofa hiyo bado mabosi wa Utd wanataka dau la €150m ili kumuachia (Star)