Juventus Yakomaa na Pogba

credit: @sokaonline_…

Klabu ya Juventus ipo tayari kuwapa Manchester Utd kiasi cha €70m pamoja na mshambuliaji wake Paulo Dybala kama chambo ya kumpata kiungo wa kati Paul Pogba.

.

.

Licha ya ofa hiyo bado mabosi wa Utd wanataka dau la €150m ili kumuachia (Star)

Leave a comment