Uganda warejea tena mazoezini baada ya kugoma

credit: @sokawaytz_…

– Baada ya Majadiliano ya Takribani Masaa Manne ya Viongozi wa Soka wa Uganda na Wachezaji wa timu hiyo ya taifa @ugandacranes, hatimae wamefikia Makubaliano na Wachezaji wamerejea kuanza Mazoezi ya kujiandaa na Mchezo wa hatua ya 16 ya AFCON dhidi ya Senegal.

:

– Wachezaji hao waligoma kufanya mazoezi kwa kile kilichoripotiwa kuwa wanadai posho zao, hivi Sasa mambo yapo shwari kocha Sebastien Desabre anaongoza Maziezi ya kuwavaa Senegal kesho Ijumaa Usiku.

#AFCONUpdates #TotalAFCON2019 #UgandaCranes

Leave a comment