South Africa yaiondoa egypt kwenye mashindano ya Afcon

credit: @sokawaytz_…

Mpira umekwisha Cairo International Stadium… Wenyeji wa AFCON 2019, @pharaohsofficial wametupwa nje ya Michuano baada kupokea kipigo kutoka kwa Bafana Bafana walioonesha kiwango Bora mno πŸ™Œ… Baada ya Ushindi huu Sasa Afrika Kusini wanakutana na Nigeria katika Mchezo wa Robo fainali siku ya Julai 10 mwaka huu.

:

Misri πŸ‡ͺπŸ‡¬ 0-1 πŸ‡ΏπŸ‡¦ Afrika Kusini

[Thembinkosi Lorch]

#AFCON2019 #EGYRSA

Leave a comment