
credit: @sokawaytz_…
June 2011: Cesc Fabregas hakutokea mazoezini ndani ya Arsenal kulazimisha kujiunga na @fcbarcelona.
:
June 2017: Ousmane Dembele hakutokea mazoezini ndani ya Borussia Dortmund kulazimisha kujiunga na @fcbarcelona.
:
July 2017: Philippe Coutinho hakutokea mazoezini ndani ya Liverpool kulazimisha kujiunga na @fcbarcelona.
:
Julai 07, 2019: Antoine Griezmann hakutokea mazoezini ndani ya Atletico Madrid kulazimisha kujiunga na @fcbarcelona.
:
Julai 08,2019 : Neymar Jr hakutokea mazoezini ndani ya PSG kulazimisha kujiunga na @fcbarcelona.
@fcbarcelona RAHA ππ
#TransferNewsUpdates