Neymar agoma kwenda mazoezini

credit: @sokawaytz_…

June 2011: Cesc Fabregas hakutokea mazoezini ndani ya Arsenal kulazimisha kujiunga na @fcbarcelona.

:

June 2017: Ousmane Dembele hakutokea mazoezini ndani ya Borussia Dortmund kulazimisha kujiunga na @fcbarcelona.

:

July 2017: Philippe Coutinho hakutokea mazoezini ndani ya Liverpool kulazimisha kujiunga na @fcbarcelona.

:

Julai 07, 2019: Antoine Griezmann hakutokea mazoezini ndani ya Atletico Madrid kulazimisha kujiunga na @fcbarcelona.

:

Julai 08,2019 : Neymar Jr hakutokea mazoezini ndani ya PSG kulazimisha kujiunga na @fcbarcelona.

@fcbarcelona RAHA πŸ˜€πŸ˜€

#TransferNewsUpdates

Leave a comment