Azam wakaribia Kumkosa Nicolas wadada

credit: @sokawaytz_…

– Kwa Kumbukumbu, Wadada alisaini Mkataba wa Mwaka Mmoja kuitumikia Azam FC… Labda Kama alisaini Mkataba Mpya kimya kimya na haikuwekwa wazi… Lakini Miamba hao wa Ethiopia πŸ‡ͺπŸ‡Ή wameonesha Nia ya kutaka huduma na Nyota huyo wa @ugandacranes.

#TransferNewsUpdates

Leave a comment