
credit: @sokawaytz…
– Jarida la @marca hivi punde limeripoti Kwamba Mshambuliaji wa Kimataifa wa Wales, Gareth Bale ana Masaa tu kukamilisha uhamisho wake wa kutimkia Ligi Kuu Nchini China π¨π³, ndani ya Klabu ya Jiangsu Suning kwa Mkataba wa Miaka Mitatu akitokea Real Madrid ya Hispania!…
.
– Bale anatarajia kupokea Mshahara wa Β£1m kwa kila Wiki sawa na Tshs 2b na Kila Mwaka Katika Kipindi atakachokuwa na Klabu hiyo atakuwa akiingiza β¬22m kwa kila msimu ambayo Ni sawa na Tshs 56b… ππ.
#TransferNewsUpdates
@Sokawaytz_