
credit: @sokawaytz…
RASMI!! Mabadilishano ya Cancelo na Danilo kwa Vilabu vya Juventus na Man City yametimia!!
.
– Beki, João Cancelo anatarajia kujiunga na Klabu ya Manchester City, Wakati huo huo Danilo atajiunga na Juventus… Man City pia italipa €30M kwenda Juventus Kama sehemu ya makubaliano ya uhamisho huo… Muda wowote kuanzia Kesho madili haya yatathibitishwa na Vilabu hivyo!.. #ManchesterCity #Juventus #transfers
@Sokawaytz_