Uganda yazidi kupeleka vifaa misri

credit: @sokawaytz…

– Nyota mwingine wa timu ya taifa ya @ugandacranes πŸ‡ΊπŸ‡¬ anajiunga na Klabu ya Ligi Kuu Nchini Misri πŸ‡ͺπŸ‡¬!!.

.

– Aliyekuwa Kiungo wa Klabu ya Vipers FC pia alikuwa Nahodha wa Kikosi hicho, Taddeo Lwanga Amesaini Mkataba wa kuitumikia Klabu ya Tanta FC iliyopanda Daraja kucheza Ligi kuu Nchini Misri!!.

.

– Nyota wa @ugandacranes waliojiunga na Vilabu vya Misri Baada ya AFCON..

Khalid Aucho – El Makkasa βœ…

Abdu Lumala – Pyramids βœ…

Emmanuel Okwi – Ittihad Alexandria βœ…

Taddeo Lwanga βœ…

#TransferNewsUpdates

@Sokawaytz_

Leave a comment