Kikosi Cha SIMBA Klabu Bingwa Africa

Klabu ya @simbasctanzania imetuma majina ya Wachezaji 25 wa kunako shirikisho la mpira wa Miguu Afrika CAF kwa ajili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika (Caf Champions League)
Majina hayo ni kama ifuatavyo

Makipa (2)
1-Aishi Manula
2-Deo Munishi Dida
Mabeki (9)
3-Shomary Kapombe
4-Mohammed Hussein
5-Asante Kwasi
6-Paschal Wawa
7-Erasto Nyoni
8-Juuko Murshid
9-Yusufu Mlipili
10-Paul Bukaba
11-Salim Mbonde

Viungo (10)
12-Jonas Mkude
13-James Kotei
14-Clatous Chama
15-Hassan Dilunga
16-Mohammed Ibrahim
17-Said Ndemla
18-Haruna Niyonzima
19-Mzamiru Yassin
20-Shiza Kichuya
21-Rashid Juma

Washambuliaji (4)
22-John Bocco
23-Meddie Kagere
24-Emmanuel Okwi
25-Adam Salamba

#sokaonlineUpdates

Leave a comment